Lembrus Mchome @LembrusMchome
Mwenyekiti Bavicha Mkoa wa Kilimanjaro. katibu chadema wilaya ya Mwanga. Mratibu msaidizi mkoa wa Arusha. Mtetezi na mpenda Haki Joined June 2020-
Tweets4K
-
Followers21K
-
Following955
-
Likes4K
Nchi haina umeme kwa masaa zaid ya kumi, kuanzia majira ya saa nane mchana mpaka saa tisa maeneo makubwa ya nchi hayakua na mawasilia. Je serikali inaweza kutuambia imeingiza hasara ya fedha kiasi gan,na wanachi nao wamepata hasara kiasi gan na kwanini mawaziri husika wawepo?
Huyu Bashite hawezi kubadilika uzuri tulimwambia rais @SuluhuSamia kwamba amejichanganya kumpa nafasi mwalifu mkubwa. TISS mnamdanganya sana huyu mama fanyeni kazi bila milungula. Sasa @ccm_tanzania italazimika kukaa na kuchagua mwenezi mwingi kweli chama kile hakina watu.
ENDELEENI Kubinafsisha Mali za Wenye nchi,Wataamka SOON, si Mbali.Yupo Rais Ajaye,MWENYE Element zote za Hayati Magufuli lakini anayeheshimu Haki za Binadamu na UtawalaWaSheria, ATAPINDUA haya ndani y Saa 48 na kurejesha Mali kwa umma .Even me if GOD Wish🏳️✍️
Napenda kutumia wasaa huu, kushukuru Kamati Kuu ya Chama changu CHADEMA, kwa kubaliana na baadhi hoja zangu (Ikiwemo kufungiwa kinyume cha utaratibu) katika rufaa dhidi ya Kamati ya utendaji wa Kanda. Vilevile, naishukuru kamati ya usaili ya Kanda ya Serengeti kwa kuniteua…
Kwa masikitiko na majonzi makubwa leo tunalia na familia, ndugu, jamaa, marafiki, wafanyabiashara na wapenda Haki, kwa msiba wa mpendwa wetu Mustafa Jaffer Sabodo. Mchumi mwenye maono, mfanyabiashara mashuhuri na mtu aliyetoa misaada mingi kwa jamii ambaye kazi yake imeenea…
Taifa hili linahitaji ukombozi wa pili. Mikakati ya kuhakikisha ukombozi wa kweli unapatikana inaendelea, Lengo ni kuitoa ccm kwa namna yeyote ile. Yes Tutaandamana Kilimanjaro itakua historia.
Cheki ng'ombe hii, watanzania hawana amani ila wana hofu na watawala kwamba wakisema ukweli basi hawatabaki salama. Uoga ambao ulitengenezwa na Mwl Nyerere umekua ukiridhisha kizazi hadi kizazi. Hii ni hali ya hatari kwa taifa lolote lile. Ujinga huu wa uoga lazima uonfoke.
Makamu wa Rais ameongea ukweli mtupu, Ni Tanzania ndio utaona wakati wa uchaguzi serikali ndio inawatumikia wananchi kwa unafiki ili kuwasahaulisha watanzania magumu waliyopitia miaka minne. Na watanzania wengi walivo wajinga wafikra kweli wanasahau shida zao kwa wakati mchache.
Askofu Ruwa'ichi jimbo Katoliki Dar es Salaam Alisema. "Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi anapaswa kuteuliwa na chombo huru na kuapa kwa Jaji Mkuu au Jaji wa Mahakama ya Rufani badala ya utaratibu wa sasa Raisi kuteua mwenyewe na kuwaapisha mwenyewe; ili kutenda haki"
Hongera mama zangu wa Kilimanjaro chini ya Mwenyekiti mahiri kabisa Mbunge halili wa Vunjo na Mjumbe wa Kamati kuu ya @ChademaTz Mhe Grace Kiwelu kwa kuwawakilisha wamama wenzenu wa mkoa wa Kilimanjaro.Hakika Mmenoga
Heri ya siku yenu Mama zetu wa @ChademaTz hakika mmependeza sana huku sura zenu zikiwa na bashasha kubwa. Nyie mnamatumaini makubwa mkijua kwamba bado kidogo historia itabadilika. Kiukweli mmenoga mama zetu.
Ikiwa leo ni kilele cha siku ya wanawake dunia basi niwatakie wanawake wote heri. Wanawake ni moja ya watu ambao wameadhiriwa vibaya na mfumo wa serikali ya ccm, wao ndio wamekua wahanga wakubwa mno. Ni wito wangu sasa kwa wanawake wa taifa hili kusimama na kuiondoa ccm.
Leo tarehe 06 Machi 2024 Chadema kupitia mwenyekiti wa Chama Taifa Mhe. Freeman Mbowe kitatangaza azimio lake.Azimio hilo limekuja baada ya vikao vya Kamati Kuu vivyoketi kwa siku mbili mfululizo. Mhe. Mbowe atatangaza azimio hilo kupitia mkutano na Waandishi wa Habari.
Hii ni shule ya msingi Mlevo ipo kata ya Kilomen Wilaya ya Mwanga, Hii shule imeanzisgwa mwaka 1975,Tangu hapo haijawahi kufanyiwa ukarabati. Moja ya jambo la kushangaza diwan wake ni makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya mwanga. Hapa ni nyumban kwa kina Askof Koda. So sad
Ukiona Mpinzani wako ambaye anawanyonya watu na kufanya ukatili wa kidemokrasia, uwizi wa mali za umma na ikiwa wewe lengo lako ni kupigania haki,mgawanyo sawa na unufaika sawa wa raslimali, unapigania demokrasia na uwazi, Ukiona amekusifia jua ni ama huna madhara au mmeungana.
Huwez kuliacha jina la Ally Hassan Mwinyi unapotaja mageuzi nchini. Wakati anaingia madarakani kama Rais wa awamu ya Pili mwaka 1985, Hayati Mwinyi alipokea nchi ambayo ilikua na changamoto lukuki, Tanzania kwa kipindi kile ilikua katika harakati za kutafuta namna bora zaidi ya…
Mzee Mwinyi ametutoka akiwa na umri wa miaka 98 katika historia ya taifa letu ndio rais ambaye amefariki na umri mkubwa zaidi. Tuna mambo ya kujifunza kutokana na maisha ya Mwinyi, Japo historia ya maisha yake haikuisha vema na hakutendewa haki. Mkuranga sio Unguja.
Pumzika kwa amani mzee Mwinyi wamekutesa sana. Ili kulinda vema historia ya mzee wetu Mwinyi ni muhimu sana serikali ikatangaza tar sahihi ya kifo cha mzee wetu.
Katiba Mpya ndio mwarubain wa kuzuia rasilmali zetu kunufaisha wachache. Asante Arusha mmekuja kwa wingi sana
huyu mjinga anaitwa Hakim Msemo ni katibu wa bodaboda wilaya ya arusha, tangu jana anawatumia msg za vitisho viongozi wa bodaboda kata na vituo kwamba wasishiriki maandamano ya tar 27 hapa Arusha na kwamba atakayeshiriki atachukuliwa hatua kali. 0752947499 Hizi ndio namba zake.
Martin Maranja Masese @IAMartin_
502K Followers 2K Following MMM | Full-time Father | Public-spirited | Sperm That Won The Race, ME | Think Deep Don’t sink | Cogito, ergo sum |Godbless E.J. Lema @godbless_lema
1.1M Followers 981 Following Politician/Activist/Member @Chadematz Central Committee Former MP Arusha Urban (2010 -2020), Shadow Minister Home Affairs, Husband and FatherBoniface Jacob @ExMayorUbungo
451K Followers 8K Following Ex-mayor @Ubungo Municipal council 2016-2020 Exmayor @Kinondoni Municipal council 2016 Jan to Nov, Ubungo councilor 2010-2020 BA.Ed UDSM alumni CHADEMA MemberJohn Heche @HecheJohn
734K Followers 1K Following Member of chadema central committee. Former Member of Parliament ,Tarime rural constituency 2015- 2020.Twaha Mwaipaya @Twaha_Mwaipaya
286K Followers 4K Following Mratibu Wa Uhamasishaji Baraza la vijana wa chadema Taifa (BAVICHA) Prison graduate 133 days in jail.fatma karume aka Shan.. @fatma_karume
1.1M Followers 601 Following Who’s to blame if repression remains? We are. Who can break its thrall? We can. Whoever has been beaten down must rise to his feet! Whoever is lost must fightJohn Pambalu @John_Pambalu
282K Followers 1K Following BAVICHA National chairman, Butimba ward councillor (2015-2020), MP Candidate, Activist and entrepreneur.Freeman Mbowe @freemanmbowetz
630K Followers 498 Following Chairman of the Main Opposition Party in Tanzania CHADEMA & Chairman for DUAPatrick John Assenga @PatrickJAssenga
67K Followers 2K Following Mwenyekiti CHADEMA Jimbo la Segerea | Mgombea Ubunge Rombo 2020 | Diwani Tabata 2015-2020 |Tito Magoti, PG @TitoMagoti
244K Followers 10K Following Bingwa. Attorney | Human rights | #NguvuMoja🦁Kumbusho Dawson Kagin.. @KumbushoDawson
190K Followers 1K Following Democracy must be built through open societies which shares information. When there is information there is enlightenment.CPA Catherine Ruge (M.. @CatherineRuge
155K Followers 2K Following UN -empower women champion for change. Secretary General for CHADEMA Women Wing . Former Member of Parliament of UR of Tanzania 2017-2020Thabit Jacob, PhD @ThabitSenior
104K Followers 4K Following Scholar, feather ruffler & lots of other hats. Political economy of devt, all things Energy, Extractives & more. ⚽️ junkie 🦁💙. Not necessarily in that orderJon Mrema @JonMrema
205K Followers 1K Following Chadema Director for Communications and Foreign Affairs .NTOBI @Ntobi_
66K Followers 3K Following Concerned Citizen || Ngokolo Ward Councilor 2015-2020 || Banker || Activist || UDSM Alumni || Chairman of CHADEMA Shinyanga Region || WhatsApp +255 715 956595MCHAMBUZI @Mchambuzi5
76K Followers 1K Following The Analyst | Media & Communications Expert | Ambassador-Timiza Malengo | Freelancer | Human Rights DefenderRose Mayemba @rose_mayemba
35K Followers 397 Following Chadema Chair for Njombe Region, Pharmaceutical Technician,Business woman& Child of God...Vitus Nkuna @VitusNkuna
88K Followers 2K Following Mwanachama, Mpenzi na Mfuasi wa @Chadematz. ||Ex- Katibu wa Bavicha Iringa.|| Next Kyerwa MP-2025 |I M4C || Tuilinde kwa wivu Chadema✌️Baba Mwita @BabaMwita
61K Followers 4K Following Husband | Father | Lawyer | Human Rights Activist | Democracy | Rule of Law | A People's Servant | An Agent of ChangeKivu @Kivu_tz
21 Followers 4K Followingkilonga Jr @KilongaEmmanuel
359 Followers 2K Following Teacher |Literature in English |Roman Catholic|Young African SC diehard fan |Arsenal fanchazy @chazy225
174 Followers 493 FollowingGasper Maningi @ManingiGas40148
17 Followers 160 FollowingTanzee Mwani Seamoss @seamosstanzee
50 Followers 344 Following Mwani au seamoss umekua ni mmea pekee wa kuikomboa dunia katika magonjwa mbali mbali,mwani ni mmea pekee wenye madini na vitamins 92 kwa pamoja .Ze real DJM @djm_zereal
0 Followers 86 FollowingMAZALERMY @MAZALERMY
2K Followers 5K FollowingGodwin Mahende @MahendeGodwin
58 Followers 1K FollowingKessy Kogi @KogiKessy
69 Followers 341 FollowingMathew Mkunda @mathewmkunda23
32 Followers 368 FollowingSijo damson @sijo_damson
46 Followers 573 FollowingMr kavindi @Kasavaga50
427 Followers 2K Following Son of peasants//Udsm Alumni//Economics Teacher//@Yanga 1935supporter//Iringa//ukabila na udini huua utaifa mpaka uchumi wa taifa.sama companyltd @CompanyltdSama
388 Followers 2K FollowingChris's Dady @DadyChriss
692 Followers 2K Following Computer 🖥 & Phones 📱 Software & Hardware Repair services%Tibe Fundi @TibeFundi
1K Followers 6K FollowingDula Hemedi @DullahHemedi
355 Followers 308 Following Mkurugenzi mtendaji wa @D13 Investment, Muumini wa HAKI katika kuleta ustawi wa jamii. #Katiba Mpya ni Mwanga.ECharlie🌺 @CharlieEmmie
2K Followers 4K Following ||PHO🤍 💚||DreamChaser||i hate gossip||January queen|peace,respect,friendly,God fearn||lastborn|my parent are my first priority❤Samwel Noah @NoahSamwel98315
21 Followers 255 FollowingPetro Maro @petromaro13
6 Followers 114 Followingmaulino Mgaya @MaulinoMga9308
4 Followers 2K Followingjaphet ladisilaus @JLadisilaus
184 Followers 2K FollowingSuleman Karemwa @Kar70167Karemwa
19 Followers 309 Followingwalter abuogo @WAbuogo
27 Followers 310 FollowingMATHEW VALENTINE @MathewVale74304
43 Followers 262 FollowingAthuman mohamed @Athumanmoh42291
24 Followers 430 FollowingElisha Mange @MangeElish93342
44 Followers 791 FollowingGerald sabi @sabi_gerald
84 Followers 457 FollowingFranco Mosha @mosha_fran36635
21 Followers 423 FollowingEmmanuel Francis Ntir.. @ntirukaemmanuel
724 Followers 2K Following Be good to others so that they'll be good to youIbrahim Mrisho @IbrahimMri84366
4 Followers 386 FollowingAmos Masalu @AmosMasalu14600
3 Followers 231 Followinglawi matage @LawiMatage
41 Followers 302 FollowingFish @Fish1167998
72 Followers 878 FollowingFrank Simbo Lema @frank_simb3039
26 Followers 294 FollowingMbewelikizo @mbewelikizo
7 Followers 226 FollowingJumanne Mihambo @Ju54603Jumanne
0 Followers 277 FollowingZamoyoni Raphael @ZamoyoniRaphael
44 Followers 191 FollowingNurfus @Nurfus1
58 Followers 711 FollowingJULIUS MLAY @JULIUSMLAY9
11 Followers 259 FollowingLaurenc Kessy @KessyLaure72487
0 Followers 37 FollowingSalum Kiwambe @kiwambe99623
20 Followers 813 FollowingMartin Maranja Masese @IAMartin_
502K Followers 2K Following MMM | Full-time Father | Public-spirited | Sperm That Won The Race, ME | Think Deep Don’t sink | Cogito, ergo sum |Godbless E.J. Lema @godbless_lema
1.1M Followers 981 Following Politician/Activist/Member @Chadematz Central Committee Former MP Arusha Urban (2010 -2020), Shadow Minister Home Affairs, Husband and FatherBoniface Jacob @ExMayorUbungo
451K Followers 8K Following Ex-mayor @Ubungo Municipal council 2016-2020 Exmayor @Kinondoni Municipal council 2016 Jan to Nov, Ubungo councilor 2010-2020 BA.Ed UDSM alumni CHADEMA MemberJohn Heche @HecheJohn
734K Followers 1K Following Member of chadema central committee. Former Member of Parliament ,Tarime rural constituency 2015- 2020.Twaha Mwaipaya @Twaha_Mwaipaya
286K Followers 4K Following Mratibu Wa Uhamasishaji Baraza la vijana wa chadema Taifa (BAVICHA) Prison graduate 133 days in jail.Hilda Newton @HildaNewton21
849K Followers 1K Following ●MWANDISHI WA HABARI, ●MWENYE KITI BAVICHA (M) TEMEKE, ●RAIS WA TANZANIA 2045.Mfanyakazi Online Med.. @MfanyakaziNews
420K Followers 0 Following UKWELI NA UWAZI : : [email protected]fatma karume aka Shan.. @fatma_karume
1.1M Followers 601 Following Who’s to blame if repression remains? We are. Who can break its thrall? We can. Whoever has been beaten down must rise to his feet! Whoever is lost must fightJohn Pambalu @John_Pambalu
282K Followers 1K Following BAVICHA National chairman, Butimba ward councillor (2015-2020), MP Candidate, Activist and entrepreneur.Mdude Chadema @mdudechadematz
123K Followers 389 Following I'm back from prison. MDUDE PEOPLE'S VOICE (MPV). An Activist For Democracy and Good Governance. Tanzanian🇹🇿.Freeman Mbowe @freemanmbowetz
630K Followers 498 Following Chairman of the Main Opposition Party in Tanzania CHADEMA & Chairman for DUAThink Different @lifeofmshaba
420K Followers 3K Following #ChangeTanzania |#KatibaMpya | #WenyeNchiWananchi | for activism contact via WhatssApp and Telegram +1 (862) 438-3337 |Personal Views| like Not upholding |Patrick John Assenga @PatrickJAssenga
67K Followers 2K Following Mwenyekiti CHADEMA Jimbo la Segerea | Mgombea Ubunge Rombo 2020 | Diwani Tabata 2015-2020 |Joseph Mbilinyi @TheRealJongwe
401K Followers 154 Following Businessman/Former Member of Parliament for Mbeya Urban Constituency/Central Committee Member - CHADEMA/Legendary African Hiphop ArtistAyubu Madenge @ayubu_madenge
306K Followers 2K Following Dad|Friend|Citizen|Humble servant of the peopleTito Magoti, PG @TitoMagoti
244K Followers 10K Following Bingwa. Attorney | Human rights | #NguvuMoja🦁Lubasha Jr @MarekaMalili
621K Followers 2K Following |Digital Consultant | |Baba Maggie & Gian |Youth Development| |Parenting| |Financial Literacy| |#ManU #LBJLoyalKnight|CHADEMA Tanzania @ChademaTz
758K Followers 11 Following The Main Opposition Political Party in Tanzania ✌🏼Dedan Chacha Wangwe @DedanWangwe
11K Followers 938 Following A Jurist + Political & Human rights Activist + Chairperson CHADEMA Youths Wing Ilala Party RegionGenuine Mwasha(LLB)(H.. @M_GoldenEagle
1K Followers 5K Following I am coach for anxiety , negotiation ,forgiveness as well as Mediator, Diversity and Inclusion trainer and a Founder at The Roof of Africa {SCIO}Dr. John Njenga Karug.. @johnnjenga
312K Followers 51K Following Humboldt University Berlin Researcher Lecturer. Visiting Professor Hassanudin University Makassar. Transregional Studies, Memory Studies/Ethics, CosmopolitanismMiss_Salum @AsiahSalum
13K Followers 3K Following |Founder & CEO of #MissSalumNails💅 & #MissSalumCosmetics💄 [email protected] | DM me 😊 #SemanaekupitiaMimi #Icanmakeitanywhere🥂Gervas Mgonja @GervasMgonja1
1 Followers 46 FollowingCAF @CAF_Online
2.8M Followers 244 Following Confederation of African Football (CAF) | FR: @CAF_Online_FR | AR: @CAF_Online_AR | PT: @CAF_Online_PT | CAFWomen: @CAFwomenLeah Mollel @Leah_M_Mollel
3K Followers 5K Following MWENYEKITI BARAZA LA WANAWAKE CHADEMA (BAWACHA) JIMBO LA ARUMERU MAGHARIBIShomari Omary Shomari.. @shomari_omary
1K Followers 5K Following Economist|YAP mwanza chairman @plan_tanzania ) |,|FmrHP pamba high School|,|Fmr PM children's parliament Ilemela.kikolo tiko @KikoloTiko
369 Followers 533 FollowingJeff Msangi® @msangijeff
72K Followers 6K Following Comm.Analyst| WR|Businessman | Editor https://t.co/aAdC2d3S1g. Talents. Copywriter| Song Writer #Official Madridista #Yanga #TFC#Raptors Opinions are mine.Alice🇨🇵TeamUnid.. @AliceUnidoSTeam
432K Followers 360K Following 💞@Saori__M 💞@666_alhlwan 💞@Fer_TeamUnidoS 💞@bordong2 💞@srone82 💞@M_A_N_U_74 @WFC_Leader 💞@papiko7890 #TeamUnidoS #𝐅𝐨𝐥𝐥𝐨𝐰ᵃʳⁱᵍᵃᵗᵒ #TwFsClubGeorge Richardson @ga_richardson
24K Followers 26K Following News of #CANZUK, 15 #KingsRealms & the 56 member @Commonwealthsec. #geopolitics #IndigenousCANZUK @BritishOverseas #IndoPacific #CPTPP #AUKUS @JEFnationsolesalekwa @olesalekwa1
2K Followers 2K Following investor, Restaurateur, environmentalist & businessmanKaswahili Jay @JkKaswahili
36 Followers 384 FollowingJukwaa la Katiba @JUKATA_Tz
1K Followers 165 Following The Official Twitter Account of Tanzania Constitution Forum/Jukwaa la Katiba Tanzania(JUKATA). JUKATA is a Non-Governmental Organization Based in Tanzania.Raphael Thedomiri Mus.. @rafa__tedo
964 Followers 217 Following follower of Jesus. husband of Ruth, father of three (C. J. B.), a citizen of Tanzania.Kangeta ISMAIL @KangetaIsmal
710 Followers 195 Following Secretary CHADEMA Western Zone(Tabora, Kigoma & Katavi)Saimon Kisanga @SaimonKisanga2
120 Followers 333 FollowingOnly anal sex @Analsex0000000
62K Followers 353 Following Follow me the servant who is interested in anal sex. I don't like anything but anal. You can also send me Anal video and Anal photosAmnesty Eastern Afric.. @AmnestyEARO
43K Followers 991 Following Amnesty International in East Africa, the Horn, the Sudans and the Great Lakes.Boniface Mwabukusi @Mwabuk2Boniface
18K Followers 2K Following Advocate | father | husband. HUMAN RIGHTS. Tanzania🇹🇿 Politics Review. Busokelo.Wasafifm @wasafifm
138K Followers 1 Following The official Twitter page for Wasafi FM #SendYourMusic to [email protected]SharifaSuleiman @SharifaSul
8K Followers 187 Following Kaimu Mwenyekiti BAWACHA Taifa| Makamu Mwenyekiti BAVICHA -Zanzibar 2009-2014freeminded @ghoghomrinyi
4K Followers 5K Following Lakini licha ya mazingira hayo magumu, na mbele ya changamoto kubwa na nyingi zitakazotukabili, ninaamini kama ilivyoandikwa katika Kitabu cha YeremiaObed Baraka Mwangubi @MwangubiObedi
150 Followers 316 Following@AlbertOltteu @30181adfb6a7495
163 Followers 262 Following **A Teacher,** Politician, **Former Vice chairman at Arusha DC, **Chadema secretary at Arusha DC.## Former Teacher at Mwandet Secondary school**Tolbert Vitalice @TolbertVit69284
64 Followers 243 FollowingAchibod Mmbando @AchibodM
2K Followers 1K Following God first/ Economist by profession Mwenyekiti Chaso Dodoma 2020/2021Ayubu Sikagonamo/ fre.. @ASikagonamo
3K Followers 2K Following Diwani 2015-2020 kata ya Chipaka Halmashauri ya mji wa Tunduma. m/kiti Bavicha mkoa wa Songwe.Mchomvujr Elirehema @MchomvujrE47415
39 Followers 227 FollowingObadiah @NerbartObadiah
160 Followers 512 Following entrepreneurship, politics, citizen'speaker, #katiba-mpya #Tanzaniampya #marriage morals #Katibumwenezi J Ukonga23/2028 #Mbunge wa Bunge la JMTanzania 2030Frederick Fussi @Fussi2015
4K Followers 2K Following MWF(#YALI2016)| Board Member 2016 East Africa YALI Regional Advisory Board | Associate Consultant at https://t.co/W6GAh8cic4 | Founder @ChangeLabTZ Tweets MineABDUL NASEEB 🇰🇪 @Africanacityy
66K Followers 17 Following To fear parody or criticism is a sign of weakness.Hon Millicent Omanga @MillicentOmanga
1.0M Followers 86 Following Wife | Mother | Deputy Cabinet Secretary - Ministry of Interior | Senator 2017 - 2022 | Director: KenGen 2014 - 2017 | Businesslady |#MamaMiradiDjigui Diarra Officie.. @DjiguiOfficiel
53K Followers 195 Following International malien , football professionnel, Gardien de but des Aigles du Mali A . TikTok : https://t.co/2xHGPB8ysdRadio One Stereo @RadioOneStereo
411K Followers 2 Following ITV-Independent Television Ltd Mikocheni Light Industrial Area https://t.co/UoicRTG8jp 4374,Dar es salaam Tanzania. Tel: +255 22 27775914/6 E-mail:[email protected]Dr. Tulia Ackson @TuliaAckson
134K Followers 62 Following Speaker of the National Assembly of Tanzania 2022 - |Deputy Speaker of the National Assembly 2015-2022 |16th Deputy Attorney General of Tanzania |LawyerRevocatus Bupamba @RevocatusB38160
29 Followers 204 FollowingRev Rickenson Moshi @nantes2018
81 Followers 617 Following Pastor, counsellor, preacher, Missiologist. Christian Education secretary in ELCT NDENDELEENI Kubinafsisha Mali za Wenye nchi,Wataamka SOON, si Mbali.Yupo Rais Ajaye,MWENYE Element zote za Hayati Magufuli lakini anayeheshimu Haki za Binadamu na UtawalaWaSheria, ATAPINDUA haya ndani y Saa 48 na kurejesha Mali kwa umma .Even me if GOD Wish🏳️✍️
Napenda kutumia wasaa huu, kushukuru Kamati Kuu ya Chama changu CHADEMA, kwa kubaliana na baadhi hoja zangu (Ikiwemo kufungiwa kinyume cha utaratibu) katika rufaa dhidi ya Kamati ya utendaji wa Kanda. Vilevile, naishukuru kamati ya usaili ya Kanda ya Serengeti kwa kuniteua…
Kwa masikitiko na majonzi makubwa leo tunalia na familia, ndugu, jamaa, marafiki, wafanyabiashara na wapenda Haki, kwa msiba wa mpendwa wetu Mustafa Jaffer Sabodo. Mchumi mwenye maono, mfanyabiashara mashuhuri na mtu aliyetoa misaada mingi kwa jamii ambaye kazi yake imeenea…
@LembrusMchome Naungana na baba Askofu
We start the day like this 💪 Nikiwa na kamanda @LembrusMchome mwenyekiti wa Bavicha mkoa wa Kilimanjaro. @clementmanang
Hii ni shule ya msingi Mlevo ipo kata ya Kilomen Wilaya ya Mwanga, Hii shule imeanzisgwa mwaka 1975,Tangu hapo haijawahi kufanyiwa ukarabati. Moja ya jambo la kushangaza diwan wake ni makamu mwenyekiti wa Halmashauri ya mwanga. Hapa ni nyumban kwa kina Askof Koda. So sad
@LembrusMchome @ChademaTz @ExMayorUbungo @earadiofm @HecheJohn @HildaNewton21 @freemanmbowetz @IAMartin_ @ikulumawasliano Kaka CCM lazima wakisifie chama cha ACT kwa sababu ni tawi lao,ile ni pure CCM B,wala wasikupe taabu, acha waendelee kusifiana ndiyo walewale
Ukiona Mpinzani wako ambaye anawanyonya watu na kufanya ukatili wa kidemokrasia, uwizi wa mali za umma na ikiwa wewe lengo lako ni kupigania haki,mgawanyo sawa na unufaika sawa wa raslimali, unapigania demokrasia na uwazi, Ukiona amekusifia jua ni ama huna madhara au mmeungana.
They will always remember you much love Egypt 🇪🇬 ❤️ and to my fans may Allah bless you all 🙏🙏🙏.
Huwez kuliacha jina la Ally Hassan Mwinyi unapotaja mageuzi nchini. Wakati anaingia madarakani kama Rais wa awamu ya Pili mwaka 1985, Hayati Mwinyi alipokea nchi ambayo ilikua na changamoto lukuki, Tanzania kwa kipindi kile ilikua katika harakati za kutafuta namna bora zaidi ya…
Training♻️🔰✅🔥
Pumzika kwa amani mzee Mwinyi wamekutesa sana. Ili kulinda vema historia ya mzee wetu Mwinyi ni muhimu sana serikali ikatangaza tar sahihi ya kifo cha mzee wetu.
Ninaipongeza sana Mbeya kwa kuonesha umoja na utulivu leo. Maelfu ya watu mmetoka mkaonyesha hamna kizuizi cha amani na demokrasia. Hongereni sana kwa kujitokeza kwa wingi na kwa utulivu mkubwa. Mungu awabariki Mbeya! #AmaniMbeya
Nawashukuru sana WanaMBEYA wenzetu ambao ni CCM lakini washiriki MAANDAMANO … Nchi kwanza na wote tunapigika, gharama za maisha hazina ITIKADI… #MaandamanoYaAmaniMbeya
@VodacomTanzania Nataka kukopa umeme, ni taasisi gani yenye leseni ya beki kuu kwasababu TANESCK ninaowalipa cash wana usumbufu sana.?
Tunapenda kuwashukuru kwa kuonesha moja kwa moja maandamano yetu leo Mwanza bila malipo yoyote. Mmeutendea umma haki. Jambo TV Ngollo TV Kusaga TV Michuzi TV The Chanzo BMG online TV Swahili Villa TV Mwanzo TV Plus Mwanahabari Digital Msichoke. Msiogope. Tusonge pamoja. 🤜🏾